3 katika mwaka wa tatu wa utawala wake alifanya karamu+ kwa ajili ya wakuu wake na watumishi wake wote, jeshi la Uajemi+ na Umedi,+ watu wenye vyeo+ na kwa ajili ya wakuu wa wilaya za utawala mbele yake.+
15 Mwishowe wanaume hao wakaingia pamoja kwa mfalme, nao wakamwambia mfalme: “Ujue, Ee mfalme, ya kuwa sheria ya Wamedi na Waajemi ni kwamba amri ya marufuku+ au sheria yoyote ambayo mfalme mwenyewe huisimamisha imara haipasi kubadilishwa.”+