8 Nanyi andikeni kwa ajili ya Wayahudi kulingana na yaliyo mema machoni penu wenyewe katika jina la mfalme,+ nanyi myatie muhuri kwa pete ya mfalme; kwa maana maandishi ambayo yameandikwa kwa jina la mfalme na kutiwa muhuri kwa pete ya mfalme hayawezi kufutwa.”+
8 Na sasa, Ee mfalme, isimamishe imara sheria hiyo na kutia sahihi maandishi hayo,+ ili yasibadilishwe, kulingana na sheria ya Wamedi na Waajemi,+ ambayo haifutwi.”+