Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Siku ya saba, moyo wa mfalme ulipokuwa umechangamshwa na divai,+ aliwaambia Mehumani, Biztha, Harbona,+ Bigtha na Abagtha, Zethari na Karkasi, wale maofisa saba wa makao ya mfalme waliokuwa wakihudumu+ mbele ya Mfalme Ahasuero,

  • Esta 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na wale waliokuwa karibu zaidi naye ni Karshena, Shethari, Admatha, Tarshishi, Meresi, Marsena, na Memukani, wakuu saba+ wa Uajemi na Umedi, wanaoingia kwa mfalme,+ nao walikuwa wanaketi katika cheo cha kwanza katika ufalme):

  • Esta 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Walipokuwa bado wanasema naye, maofisa wa makao ya mfalme wakafika nao wakafanya haraka+ kumleta Hamani kwenye karamu+ ambayo Esta alikuwa ameandaa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki