Esta 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Esta hakuwa amesema kuhusu watu wake+ wala kuhusu jamaa zake, kwa maana Mordekai alikuwa amemwamuru kwamba asiseme.+ Mathayo 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Tazama! Mimi ninawatuma ninyi kama kondoo katikati ya mbwa-mwitu;+ kwa hiyo jionyesheni wenyewe kuwa wenye kujihadhari kama nyoka+ na hata hivyo wasio na hatia kama njiwa.+
10 Esta hakuwa amesema kuhusu watu wake+ wala kuhusu jamaa zake, kwa maana Mordekai alikuwa amemwamuru kwamba asiseme.+
16 “Tazama! Mimi ninawatuma ninyi kama kondoo katikati ya mbwa-mwitu;+ kwa hiyo jionyesheni wenyewe kuwa wenye kujihadhari kama nyoka+ na hata hivyo wasio na hatia kama njiwa.+