8 Ndipo Hamani akamwambia Mfalme Ahasuero: “Kuna kikundi fulani cha watu waliotawanyika+ na kujitenga kati ya vikundi vya watu katika wilaya zote za utawala wako;+ na sheria zao ni tofauti na zile za watu wengine wote, nao hawatendi sheria za mfalme,+ na haifai kwa mfalme kuwaachilia.
4 Kwa maana tumeuzwa,+ mimi na watu wangu, tuangamizwe, tuuawe na kuharibiwa.+ Basi ikiwa tungaliuzwa tuwe watumwa+ na wajakazi, ningalinyamaza kimya. Lakini taabu hii haifai ikiwa inamletea mfalme hasara.”
16 “Tazama! Mimi ninawatuma ninyi kama kondoo katikati ya mbwa-mwitu;+ kwa hiyo jionyesheni wenyewe kuwa wenye kujihadhari kama nyoka+ na hata hivyo wasio na hatia kama njiwa.+