Kutoka 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa hiyo Musa akainyoosha fimbo yake kuelekea mbinguni; na Yehova akatoa mingurumo na mvua ya mawe,+ na moto ulikuwa ukishuka chini mpaka duniani, naye Yehova akafanya mvua ya mawe iendelee kunyesha juu ya nchi ya Misri. 1 Samweli 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndipo Samweli akamwita Yehova,+ naye Yehova akaleta mngurumo na mvua siku hiyo,+ hivi kwamba watu wote wakawaogopa sana Yehova na Samweli. Ayubu 36:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa maana kwa hizo yeye hutetea kesi ya vikundi vya watu;+Hutoa chakula kwa wingi.+
23 Kwa hiyo Musa akainyoosha fimbo yake kuelekea mbinguni; na Yehova akatoa mingurumo na mvua ya mawe,+ na moto ulikuwa ukishuka chini mpaka duniani, naye Yehova akafanya mvua ya mawe iendelee kunyesha juu ya nchi ya Misri.
18 Ndipo Samweli akamwita Yehova,+ naye Yehova akaleta mngurumo na mvua siku hiyo,+ hivi kwamba watu wote wakawaogopa sana Yehova na Samweli.