Mwanzo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mungu akaanza kuiita nuru Mchana,+ lakini giza akaliita Usiku.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza. Zaburi 74:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mchana ni wako; pia, usiku ni wako.+Wewe mwenyewe uliutayarisha mwanga, naam, jua.+ Zaburi 148:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na vilisifu jina la Yehova;+Kwa maana yeye mwenyewe aliamuru, navyo vikaumbwa.+
5 Mungu akaanza kuiita nuru Mchana,+ lakini giza akaliita Usiku.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza.