Zaburi 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Uvunje mkono wa mwovu na mbaya.+Uutafute uovu wake mpaka usiupate tena.+ Yeremia 48:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “‘Pembe ya Moabu imekatwa,+ na mkono wake umevunjwa,’+ asema Yehova. Ezekieli 30:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama, mimi niko dhidi ya Farao mfalme wa Misri,+ nami nitaivunja mikono yake,+ ule wenye nguvu na ule uliovunjika,+ nami nitaufanya upanga uanguke kutoka mkononi mwake.+
22 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama, mimi niko dhidi ya Farao mfalme wa Misri,+ nami nitaivunja mikono yake,+ ule wenye nguvu na ule uliovunjika,+ nami nitaufanya upanga uanguke kutoka mkononi mwake.+