23 Naye hakika ataleta mvua kwa ajili ya mbegu yako unayoipanda katika udongo,+ na mkate kuwa mazao ya udongo, ambao utakuwa mnono na wenye mafuta.+ Mifugo yako italisha katika siku hiyo katika malisho mapana.+
24 Lakini hawakusema moyoni mwao: “Sasa, na tumwogope Yehova Mungu wetu,+ Yeye anayenyesha mvua kubwa na mvua ya vuli na mvua ya masika katika majira yake,+ Yeye anayetulindia majuma yaliyoamriwa ya mavuno.”+