Zaburi 136:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yule anayezifanya mbingu kwa uelewaji:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+ Methali 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa ujuzi wake vilindi vya maji vilitenganishwa,+ nazo anga zenye mawingu hutoa matone ya mvua nyepesi.+
5 Yule anayezifanya mbingu kwa uelewaji:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
20 Kwa ujuzi wake vilindi vya maji vilitenganishwa,+ nazo anga zenye mawingu hutoa matone ya mvua nyepesi.+