Mambo ya Walawi 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 hakika mimi pia nitawapa ninyi manyunyu yenu ya mvua wakati wake unaofaa,+ nayo nchi itatoa mazao yake,+ nao mti wa shambani utatoa matunda yake.+ Ayubu 36:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa maana yeye huyateka matone ya maji;+Yanajichuja kama mvua yawe ukungu wake, Ayubu 38:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Ni nani anayeweza kuhesabu kwa ukamili mawingu kwa hekima,Au mitungi ya maji ya mbingu—ni nani anayeweza kuipindua,+ Yeremia 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kutokana na sauti yake yeye huleta machafuko ya maji mbinguni,+ naye husababisha mivuke ipande kutoka mwisho wa dunia.+ Hata ameyafanya malango kwa ajili ya mvua,+ naye huuleta upepo kutoka katika maghala yake.+
4 hakika mimi pia nitawapa ninyi manyunyu yenu ya mvua wakati wake unaofaa,+ nayo nchi itatoa mazao yake,+ nao mti wa shambani utatoa matunda yake.+
27 Kwa maana yeye huyateka matone ya maji;+Yanajichuja kama mvua yawe ukungu wake, Ayubu 38:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Ni nani anayeweza kuhesabu kwa ukamili mawingu kwa hekima,Au mitungi ya maji ya mbingu—ni nani anayeweza kuipindua,+ Yeremia 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kutokana na sauti yake yeye huleta machafuko ya maji mbinguni,+ naye husababisha mivuke ipande kutoka mwisho wa dunia.+ Hata ameyafanya malango kwa ajili ya mvua,+ naye huuleta upepo kutoka katika maghala yake.+
37 Ni nani anayeweza kuhesabu kwa ukamili mawingu kwa hekima,Au mitungi ya maji ya mbingu—ni nani anayeweza kuipindua,+
13 Kutokana na sauti yake yeye huleta machafuko ya maji mbinguni,+ naye husababisha mivuke ipande kutoka mwisho wa dunia.+ Hata ameyafanya malango kwa ajili ya mvua,+ naye huuleta upepo kutoka katika maghala yake.+