16 Kupitia sauti yake yeye huleta machafuko ya maji mbinguni, naye hufanya mivuke ipae kutoka katika mwisho wa dunia.+ Amefanya hata milango kwa ajili ya mvua,+ naye huleta upepo kutoka katika maghala yake.
10“Mwombeni Yehova mvua+ wakati wa mvua ya masika,+ Yehova anayefanya mawingu ya dhoruba,+ ambaye huwapa mvua kubwa,+ na kumpa kila mmoja mimea shambani.+