Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 38:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ni nani ameugawanya mfereji kwa ajili ya mafuriko

      Na njia kwa ajili ya wingu la dhoruba lenye kunguruma,+

  • Isaya 45:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Ninyi mbingu, sababisheni mtiririko kutoka juu;+ na anga zenye mawingu zitiririshe uadilifu.+ Dunia na ifunguke, nayo izae wokovu, nayo ichipushe uadilifu+ wakati uleule. Mimi mwenyewe, Yehova, nimeiumba.”+

  • Yeremia 51:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kupitia sauti yake yeye huleta machafuko ya maji mbinguni, naye hufanya mivuke ipae kutoka katika mwisho wa dunia.+ Amefanya hata milango kwa ajili ya mvua,+ naye huleta upepo kutoka katika maghala yake.

  • Zekaria 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Mwombeni Yehova mvua+ wakati wa mvua ya masika,+ Yehova anayefanya mawingu ya dhoruba,+ ambaye huwapa mvua kubwa,+ na kumpa kila mmoja mimea shambani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki