Yeremia 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kutokana na sauti yake yeye huleta machafuko ya maji mbinguni,+ naye husababisha mivuke ipande kutoka mwisho wa dunia.+ Hata ameyafanya malango kwa ajili ya mvua,+ naye huuleta upepo kutoka katika maghala yake.+
13 Kutokana na sauti yake yeye huleta machafuko ya maji mbinguni,+ naye husababisha mivuke ipande kutoka mwisho wa dunia.+ Hata ameyafanya malango kwa ajili ya mvua,+ naye huuleta upepo kutoka katika maghala yake.+