Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 37:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Ninyi sikilizeni kwa makini, mngurumo wa sauti yake,+

      Na mvumo unaotoka kinywani mwake.

  • Ayubu 38:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Je, unaweza kulipaazia wingu sauti yako,

      Ili maji mengi yanayosukasuka yakufunike?+

  • Ayubu 38:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Ni nani aliyetia hekima+ katika tabaka za mawingu,

      Au ni nani aliyeyapa uelewaji+ maajabu ya angani?

  • Zaburi 18:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na mbinguni Yehova akaanza kunguruma,+

      Na Aliye Juu Zaidi akaanza kutoa sauti yake,+

      Mvua ya mawe na makaa yanayowaka moto.

  • Zaburi 68:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kwa Yule anayepanda mbingu ya mbingu za kale.+

      Lo! Anavumisha sauti yake, sauti yenye nguvu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki