Ayubu 37:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ninyi sikilizeni kwa makini, mngurumo wa sauti yake,+Na mvumo unaotoka kinywani mwake. Ayubu 38:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Je, unaweza kulipaazia wingu sauti yako,Ili maji mengi yanayosukasuka yakufunike?+ Ayubu 38:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ni nani aliyetia hekima+ katika tabaka za mawingu,Au ni nani aliyeyapa uelewaji+ maajabu ya angani? Zaburi 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na mbinguni Yehova akaanza kunguruma,+Na Aliye Juu Zaidi akaanza kutoa sauti yake,+Mvua ya mawe na makaa yanayowaka moto. Zaburi 68:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa Yule anayepanda mbingu ya mbingu za kale.+Lo! Anavumisha sauti yake, sauti yenye nguvu.+
36 Ni nani aliyetia hekima+ katika tabaka za mawingu,Au ni nani aliyeyapa uelewaji+ maajabu ya angani?
13 Na mbinguni Yehova akaanza kunguruma,+Na Aliye Juu Zaidi akaanza kutoa sauti yake,+Mvua ya mawe na makaa yanayowaka moto.