Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kisha Mungu akamkumbuka+ Noa na kila mnyama-mwitu na kila mnyama wa kufugwa ambaye alikuwa pamoja naye ndani ya safina.+ Mungu akafanya upepo upite juu ya dunia, nayo maji yakaanza kupungua.+

  • Kutoka 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Sasa Musa akanyoosha mkono wake juu ya bahari;+ naye Yehova akaanza kuifanya bahari irudi nyuma kwa upepo wenye nguvu wa mashariki usiku kucha na kuligeuza bonde la bahari liwe nchi kavu,+ nayo maji yalikuwa yakitenganishwa.+

  • Hesabu 11:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na upepo+ ukavuma kutoka kwa Yehova na kuanza kusukuma kware kutoka baharini+ na kuwaangusha juu ya kambi karibu safari ya siku moja kwenda upande huu na karibu safari ya siku moja kwenda upande ule, pande zote kuizunguka kambi, na karibu kimo cha mikono miwili juu ya uso wa dunia.

  • Zaburi 107:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Jinsi anavyosema neno na kutokeza upepo wenye tufani,+

      Hivi kwamba unainua mawimbi yake.+

  • Zaburi 147:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Anatuma neno lake+ na kuviyeyusha.

      Huufanya upepo uvume;+

      Maji hutiririka.

  • Yona 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na Yehova mwenyewe akavumisha upepo mkubwa baharini,+ kukawa na tufani kubwa+ baharini; nayo meli ikawa karibu kuvunjika.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki