8 Mtengenezaji wa kundi-nyota la Kima+ na kundi-nyota+ la Kesili,+ na Yeye ambaye anageuza kivuli kizito+ kiwe asubuhi, na Yeye ambaye amefanya mchana uwe na giza kama usiku,+ Yeye ambaye anaita maji ya bahari, ili ayamwage kwenye uso wa dunia+—Yehova ndilo jina lake;+