12 Simba alikuwa akirarua-rarua vipande vya kutosha kwa ajili ya watoto wake, naye alikuwa akinyonga kwa ajili ya simba-jike wake. Naye alijaza daima mawindo ndani ya matundu yake na mahali pake pa kujificha alipajaza wanyama walioraruliwa vipande-vipande.+