Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 38:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Je, unaweza kumwindia simba mawindo

      Na, je, unaweza kuishibisha hamu kubwa ya wana-simba,+

  • Isaya 31:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana Yehova ameniambia hivi: “Kama simba anavyonguruma, mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ juu ya mawindo yake, wakati hesabu kamili ya wachungaji wanapokusanywa kupigana naye, na ijapokuwa sauti yao yeye haingiwi na woga na ijapokuwa kelele zao yeye hatainama; vivyo hivyo Yehova wa majeshi atashuka ili kupiga vita juu ya Mlima Sayuni na juu ya kilima chake.+

  • Amosi 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Je, simba atanguruma mwituni wakati hana mawindo yoyote?+ Je, mwana-simba mwenye manyoya shingoni atatoa sauti mafichoni mwake ikiwa hakukamata chochote?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki