Mwanzo 1:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na mimea yote ya majani nimetoa iwe chakula+ kwa kila mnyama-mwitu wa dunia na kila kiumbe kinachoruka cha mbinguni na kila kitu kinachotembea juu ya dunia ambacho ndani yake mna uhai ukiwa nafsi.” Ikawa hivyo. Ayubu 40:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Tazama, sasa, Behemothi* ambaye nimemfanya na wewe pia.
30 Na mimea yote ya majani nimetoa iwe chakula+ kwa kila mnyama-mwitu wa dunia na kila kiumbe kinachoruka cha mbinguni na kila kitu kinachotembea juu ya dunia ambacho ndani yake mna uhai ukiwa nafsi.” Ikawa hivyo.