Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Hata hivyo mimi, kwa upande wangu, ningesema na Mweza-Yote mwenyewe,+

      Nami ningependezwa kuhojiana na Mungu.

  • Ayubu 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Ningeleta mbele zake kesi ya hukumu,

      Nami ningekijaza kinywa changu na hoja za kujibu;

  • Ayubu 31:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Laiti ningekuwa na mtu wa kunisikiliza,+

      Kwamba Mweza-Yote angenijibu+ kulingana na sahihi yangu!

      Au kwamba mtu aliye na kesi juu yangu angeandika hati!

  • Waroma 9:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo utaniambia: “Kwa nini bado analaumu? Kwa maana ni nani ambaye amepinga mapenzi yake yaliyo wazi?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki