Mwanzo 1:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na mimea yote ya majani nimetoa iwe chakula+ kwa kila mnyama-mwitu wa dunia na kila kiumbe kinachoruka cha mbinguni na kila kitu kinachotembea juu ya dunia ambacho ndani yake mna uhai ukiwa nafsi.” Ikawa hivyo. Zaburi 104:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Anafanya majani mabichi yachipuke kwa ajili ya wanyama,+Na mimea ili itumikie wanadamu,+Ili chakula kitokezwe duniani,+
30 Na mimea yote ya majani nimetoa iwe chakula+ kwa kila mnyama-mwitu wa dunia na kila kiumbe kinachoruka cha mbinguni na kila kitu kinachotembea juu ya dunia ambacho ndani yake mna uhai ukiwa nafsi.” Ikawa hivyo.
14 Anafanya majani mabichi yachipuke kwa ajili ya wanyama,+Na mimea ili itumikie wanadamu,+Ili chakula kitokezwe duniani,+