Methali 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kuna mtu anayesema bila kufikiri kama kwa upanga unaochoma,+ lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+ Methali 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Neno linalosemwa wakati unaofaa ni kama matunda ya mtofaa ya dhahabu kwenye chombo cha fedha kilichopambwa.+
18 Kuna mtu anayesema bila kufikiri kama kwa upanga unaochoma,+ lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+
11 Neno linalosemwa wakati unaofaa ni kama matunda ya mtofaa ya dhahabu kwenye chombo cha fedha kilichopambwa.+