Methali 15:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mtu hushangilia jibu la kinywa chake,+ nalo neno linalosemwa wakati unaofaa ni jema kama nini!+ Methali 24:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Anayejibu kwa njia ya unyoofu atabusu midomo.+ Mhubiri 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mkutanishaji alijitahidi kutafuta maneno yenye kupendeza+ na kuandika maneno sahihi ya kweli.+ Isaya 50:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amenipa ulimi wa waliofundishwa,+ ili nijue jinsi ya kumjibu neno yeye aliyechoka.+ Yeye huamka asubuhi baada ya asubuhi; huliamsha sikio langu ili lisikie kama wale waliofundishwa.+
4 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amenipa ulimi wa waliofundishwa,+ ili nijue jinsi ya kumjibu neno yeye aliyechoka.+ Yeye huamka asubuhi baada ya asubuhi; huliamsha sikio langu ili lisikie kama wale waliofundishwa.+