Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 15:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mtu hushangilia jibu la kinywa chake,+ nalo neno linalosemwa wakati unaofaa ni jema kama nini!+

  • Methali 24:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Anayejibu kwa njia ya unyoofu atabusu midomo.+

  • Mhubiri 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mkutanishaji alijitahidi kutafuta maneno yenye kupendeza+ na kuandika maneno sahihi ya kweli.+

  • Isaya 50:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amenipa ulimi wa waliofundishwa,+ ili nijue jinsi ya kumjibu neno yeye aliyechoka.+ Yeye huamka asubuhi baada ya asubuhi; huliamsha sikio langu ili lisikie kama wale waliofundishwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki