Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 15:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mtu hushangilia jibu la kinywa chake,+ nalo neno linalosemwa wakati unaofaa ni jema kama nini!+

  • Methali 16:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mtu mwenye hekima moyoni itasemwa kwamba ana uelewaji,+ naye mwenye midomo mitamu huongeza ushawishi.+

  • Methali 16:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Maneno yenye kupendeza ni sega la asali,+ ni matamu kwa nafsi na maponyo mifupani.+

  • Methali 25:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Neno linalosemwa wakati unaofaa ni kama matunda ya mtofaa ya dhahabu kwenye chombo cha fedha kilichopambwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki