Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mkutanishaji alijitahidi kutafuta maneno yenye kupendeza+ na kuandika maneno sahihi ya kweli.+

  • Luka 4:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nao wote wakaanza kutoa ushahidi mwema juu yake wakistaajabia maneno yenye kuvutia+ sana yaliyokuwa yakitoka kinywani mwake, na walikuwa wakisema: “Huyu ni mwana wa Yosefu, sivyo?”+

  • 2 Wakorintho 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa hiyo, kwa kuwa tunajua kumwogopa+ Bwana, tunaendelea kuwashawishi+ watu, lakini sisi tumefunuliwa kwa Mungu. Hata hivyo, natumaini kwamba tumefunuliwa pia kwa dhamiri+ zenu.

  • Wakolosai 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Maneno yenu na yawe yenye neema sikuzote,+ yenye kukolezwa chumvi,+ ili mjue jinsi mnavyopaswa kumjibu+ kila mtu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki