12 tazama! Hakika nitafanya kulingana na maneno yako.+ Tazama! Mimi hakika nitakupa moyo wenye hekima na wenye uelewaji,+ hivi kwamba hakuna mmoja kama wewe ambaye amekuwako kabla yako, na baada yako hatasimama mwingine kama wewe.+
19 Kwa maana utii wenu umekuja kujulikana na wote.+ Kwa hiyo nashangilia juu yenu. Lakini nataka ninyi muwe wenye hekima+ kuhusu yaliyo mema, bali wasio na hatia+ kuhusu yaliyo maovu.+