Ayubu 7:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na kwa nini usisamehe ukosaji wangu+Na kuliachilia kosa langu?Kwa maana sasa nitalala chini mavumbini;+Nawe hakika utanitafuta, nami sitakuwapo.” Yakobo 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ingawa hamjui uzima wenu utakuwa namna gani kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+
21 Na kwa nini usisamehe ukosaji wangu+Na kuliachilia kosa langu?Kwa maana sasa nitalala chini mavumbini;+Nawe hakika utanitafuta, nami sitakuwapo.”
14 ingawa hamjui uzima wenu utakuwa namna gani kesho.+ Kwa maana ninyi ni ukungu unaotokea kwa muda kidogo na kisha kutoweka.+