Ayubu 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa nini kuna wale wanaongojea kifo, wala hakipo,+Ijapokuwa wanaendelea kuchimba wakikitafuta kuliko kutafuta hazina zilizofichwa? Ufunuo 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na katika siku hizo wanadamu watatafuta kifo+ lakini hawatakipata kwa vyovyote, nao watatamani kufa lakini kifo kitazidi kuwakimbia.
21 Kwa nini kuna wale wanaongojea kifo, wala hakipo,+Ijapokuwa wanaendelea kuchimba wakikitafuta kuliko kutafuta hazina zilizofichwa?
6 Na katika siku hizo wanadamu watatafuta kifo+ lakini hawatakipata kwa vyovyote, nao watatamani kufa lakini kifo kitazidi kuwakimbia.