Ayubu 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa nini kuna wale wanaongojea kifo, wala hakipo,+Ijapokuwa wanaendelea kuchimba wakikitafuta kuliko kutafuta hazina zilizofichwa? Ufunuo 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nao wanaendelea kuiambia milima na miamba: “Tuangukieni,+ mtufiche kutoka usoni pa Yule anayeketi juu ya kile kiti cha ufalme+ na kutoka kwenye ghadhabu ya Mwana-Kondoo,+
21 Kwa nini kuna wale wanaongojea kifo, wala hakipo,+Ijapokuwa wanaendelea kuchimba wakikitafuta kuliko kutafuta hazina zilizofichwa?
16 Nao wanaendelea kuiambia milima na miamba: “Tuangukieni,+ mtufiche kutoka usoni pa Yule anayeketi juu ya kile kiti cha ufalme+ na kutoka kwenye ghadhabu ya Mwana-Kondoo,+