Mathayo 12:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 “Wakati roho mchafu anapomtoka mtu, hupita katika mahali pakavu akitafuta mahali pa kupumzika, na hapati popote.+ 1 Petro 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Tunzeni akili zenu, iweni wenye kulinda.+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.+
43 “Wakati roho mchafu anapomtoka mtu, hupita katika mahali pakavu akitafuta mahali pa kupumzika, na hapati popote.+
8 Tunzeni akili zenu, iweni wenye kulinda.+ Adui yenu, Ibilisi, anatembea huku na huku kama simba anayenguruma, akitafuta kummeza mtu.+