Ayubu 11:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na urefu wa maisha yako+ utainuka kwa wangavu kuliko katikati ya mchana;Giza litakuwa kama asubuhi.+ Zaburi 39:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Tazama! Umezifanya siku zangu kuwa chache tu;+Na urefu wa maisha yangu si kitu mbele zako.+Kwa kweli kila mtu wa udongo, ingawa anasimama imara, si kitu ila pumzi tu.+ Sela.
17 Na urefu wa maisha yako+ utainuka kwa wangavu kuliko katikati ya mchana;Giza litakuwa kama asubuhi.+
5 Tazama! Umezifanya siku zangu kuwa chache tu;+Na urefu wa maisha yangu si kitu mbele zako.+Kwa kweli kila mtu wa udongo, ingawa anasimama imara, si kitu ila pumzi tu.+ Sela.