Mwanzo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na Mungu akaifanya mianga mikubwa miwili. Mwanga mkubwa utawale mchana na mwanga mdogo utawale usiku, na pia nyota.+ Ezekieli 32:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “ ‘Na wakati utakapozimwa nitazifunika mbingu na kuzitia giza nyota zake. Nalo jua, nitalifunika kwa mawingu, na mwezi wenyewe hautaacha nuru yake iangaze.+
16 Na Mungu akaifanya mianga mikubwa miwili. Mwanga mkubwa utawale mchana na mwanga mdogo utawale usiku, na pia nyota.+
7 “ ‘Na wakati utakapozimwa nitazifunika mbingu na kuzitia giza nyota zake. Nalo jua, nitalifunika kwa mawingu, na mwezi wenyewe hautaacha nuru yake iangaze.+