Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana nyota za mbinguni na makundi-nyota yake ya Kesili+ hazitatoa nuru yake; jua litakuwa na giza linapochomoza, na mwezi hautatoa nuru yake.

  • Yoeli 2:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Jua litageuzwa kuwa giza,+ na mwezi kuwa damu,+ kabla ya kuja kwa ile siku ya Yehova iliyo kuu na yenye kuogopesha.+

  • Amosi 8:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “ ‘Na itakuwa katika siku hiyo,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘kwamba nitalifanya jua lishuke katikati ya mchana,+ nami nitailetea nchi giza siku ya mwangaza.

  • Mathayo 24:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Mara baada ya ile dhiki ya siku hizo jua litatiwa giza,+ nao mwezi+ hautatoa nuru yake, nazo nyota zitaanguka kutoka mbinguni, nazo nguvu za mbingu zitatikiswa.+

  • Ufunuo 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nikaona alipofungua muhuri wa sita, na tetemeko kubwa la nchi likatokea; na jua likawa jeusi kama gunia+ la manyoya, na mwezi mzima ukawa kama damu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki