Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hiyo ikiwa hivi ndivyo unavyonifanyia, tafadhali niue kabisa,+ ikiwa nimepata kibali machoni pako, wala usiache niutazame msiba wangu.”

  • 1 Wafalme 19:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye mwenyewe akaingia nyikani safari ya siku moja, mwishowe akafika na kuketi chini ya mretemu fulani.+ Naye akaanza kuomba kwamba nafsi yake ife na kusema: “Inatosha! Sasa, Ee Yehova, iondoe nafsi yangu,+ kwa maana mimi si bora kuliko mababu zangu.”

  • Ayubu 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nimekataa huo;+ sitaishi mpaka wakati usio na kipimo.

      Niache mimi, kwa sababu siku zangu ni upepo wa pumzi.+

  • Yona 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na sasa, Ee Yehova, tafadhali, iondoe nafsi yangu+ kutoka kwangu, kwa maana ni afadhali mimi nife kuliko niwe hai.”+

  • Waroma 8:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana uumbaji ulitiishwa chini ya ubatili,+ si kwa mapenzi yake wenyewe bali kupitia yeye aliyeutiisha hivyo, juu ya msingi wa tumaini+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki