Ayubu 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ambaye siwezi kumjibu, hata ingawa ningekuwa upande wa haki.+Ningeomba kibali kwa bidii kutoka kwa mpinzani wangu katika kesi.+ Luka 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndivyo na ninyi, pia, wakati mmefanya mambo yote mliyoagizwa, semeni, ‘Sisi ni watumwa wasiofaa kitu.+ Jambo ambalo tumefanya ndilo tulilopaswa kufanya.’ ”
15 Ambaye siwezi kumjibu, hata ingawa ningekuwa upande wa haki.+Ningeomba kibali kwa bidii kutoka kwa mpinzani wangu katika kesi.+
10 Ndivyo na ninyi, pia, wakati mmefanya mambo yote mliyoagizwa, semeni, ‘Sisi ni watumwa wasiofaa kitu.+ Jambo ambalo tumefanya ndilo tulilopaswa kufanya.’ ”