Zaburi 25:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Uone mateso yangu na taabu yangu,+Na unisamehe dhambi zangu zote.+ Zaburi 119:153 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 153 Uone mateso yangu na kuniokoa;+Kwa maana sijaisahau sheria yako mwenyewe.+