Zaburi 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Urudi,+ Ee Yehova, uokoe nafsi yangu;+Uniokoe kwa ajili ya fadhili zako zenye upendo.+ Zaburi 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Unionyeshe kibali, Ee Yehova; uone mateso yangu kutoka kwa wale wanaonichukia,+Ewe unayeniinua kutoka katika malango ya kifo,+ Zaburi 140:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 140 Uniokoe, Ee Yehova, kutoka kwa watu wabaya;+Unilinde na mtu mwenye matendo ya jeuri,+
13 Unionyeshe kibali, Ee Yehova; uone mateso yangu kutoka kwa wale wanaonichukia,+Ewe unayeniinua kutoka katika malango ya kifo,+