Yeremia 27:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ‘Mimi mwenyewe nimeifanya dunia,+ wanadamu+ na wanyama+ walio juu ya uso wa dunia kwa nguvu zangu kuu+ na kwa mkono wangu ulionyooshwa;+ nami nimempa hiyo yeye ambaye nimemwona kuwa sawa machoni pangu.+ Waroma 11:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa sababu vitu vyote ni kutoka kwake na kwa yeye na kwa ajili yake.+ Kwake yeye na kuwe na utukufu milele.+ Amina.
5 ‘Mimi mwenyewe nimeifanya dunia,+ wanadamu+ na wanyama+ walio juu ya uso wa dunia kwa nguvu zangu kuu+ na kwa mkono wangu ulionyooshwa;+ nami nimempa hiyo yeye ambaye nimemwona kuwa sawa machoni pangu.+
36 Kwa sababu vitu vyote ni kutoka kwake na kwa yeye na kwa ajili yake.+ Kwake yeye na kuwe na utukufu milele.+ Amina.