Ayubu 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yeye ana hekima na nguvu;+Ana shauri na uelewaji.+ Waroma 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana sifa zake ambazo hazionekani,+ zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea,+ kwa sababu zinaeleweka kwa vitu vilivyofanywa,+ yaani, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ hivi kwamba hawana sababu ya kujitetea.+
20 Kwa maana sifa zake ambazo hazionekani,+ zinaonekana waziwazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu na kuendelea,+ kwa sababu zinaeleweka kwa vitu vilivyofanywa,+ yaani, nguvu zake za milele+ na Uungu,+ hivi kwamba hawana sababu ya kujitetea.+