14 Alishauriana na nani ndipo mtu amfanye aelewe, au ni nani anayemfundisha katika njia ya haki, au kumfundisha ujuzi,+ au kumjulisha njia ya ufahamu wa kweli?+
12 Yeye ndiye Mtengenezaji wa dunia kwa nguvu zake,+ Yeye anayeifanya imara nchi yenye kuzaa kwa hekima yake,+ na Yeye aliyezitandaza mbingu kwa uelewaji wake.+