Ayubu 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nao wakaendelea kuketi+ chini pamoja naye siku saba, mchana na usiku, wala hakuna yeyote aliyemwambia neno lolote, kwa maana waliona kwamba yale maumivu+ ni makali sana.
13 Nao wakaendelea kuketi+ chini pamoja naye siku saba, mchana na usiku, wala hakuna yeyote aliyemwambia neno lolote, kwa maana waliona kwamba yale maumivu+ ni makali sana.