Zaburi 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee Mungu wangu, mimi huendelea kuita wakati wa mchana, nawe huitiki;+Na wakati wa usiku, wala sinyamazi.+ Habakuki 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee Yehova, nililie msaada mpaka wakati gani, nawe usisikie?+ Nitakuomba msaada kutokana na jeuri mpaka wakati gani, nawe usiokoe?+
2 Ee Mungu wangu, mimi huendelea kuita wakati wa mchana, nawe huitiki;+Na wakati wa usiku, wala sinyamazi.+
2 Ee Yehova, nililie msaada mpaka wakati gani, nawe usisikie?+ Nitakuomba msaada kutokana na jeuri mpaka wakati gani, nawe usiokoe?+