Zaburi 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+Kwa nini uko mbali usiniokoe,+Mbali na maneno ya mngurumo wangu?+ Zaburi 74:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kushutumu mpaka wakati gani?+Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+ Mhubiri 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ukimwona mtu yeyote maskini akionewa na hukumu+ na uadilifu zikitwaliwa kijeuri katika wilaya ya utawala, usishangazwe na jambo hilo,+ kwa maana aliye juu zaidi kuliko yule aliye juu+ anaangalia,+ na kuna wale walio juu yao.
22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+Kwa nini uko mbali usiniokoe,+Mbali na maneno ya mngurumo wangu?+
10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kushutumu mpaka wakati gani?+Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+
8 Ukimwona mtu yeyote maskini akionewa na hukumu+ na uadilifu zikitwaliwa kijeuri katika wilaya ya utawala, usishangazwe na jambo hilo,+ kwa maana aliye juu zaidi kuliko yule aliye juu+ anaangalia,+ na kuna wale walio juu yao.