Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?+

      Kwa nini uko mbali usiniokoe,+

      Mbali na maneno ya mngurumo wangu?+

  • Zaburi 74:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kushutumu mpaka wakati gani?+

      Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+

  • Mhubiri 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ukimwona mtu yeyote maskini akionewa na hukumu+ na uadilifu zikitwaliwa kijeuri katika wilaya ya utawala, usishangazwe na jambo hilo,+ kwa maana aliye juu zaidi kuliko yule aliye juu+ anaangalia,+ na kuna wale walio juu yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki