Zaburi 73:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kama ndoto baada ya kuamka, Ee Yehova,+Ndivyo utakavyoidharau sura yao utakapoamka.+ Zaburi 90:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Umewafagilia mbali;+ wanakuwa usingizi tu;+Asubuhi, wao ni kama majani mabichi ambayo hubadilika.+