Methali 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Vitu vyenye thamani havitakuwa na faida yoyote siku ya ghadhabu,+ lakini uadilifu utakomboa kutoka katika kifo.+ Mhubiri 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kuna msiba mbaya sana ambao nimeona chini ya jua: utajiri unaowekwa kwa ajili ya aliye nao na kumletea msiba.+
4 Vitu vyenye thamani havitakuwa na faida yoyote siku ya ghadhabu,+ lakini uadilifu utakomboa kutoka katika kifo.+
13 Kuna msiba mbaya sana ambao nimeona chini ya jua: utajiri unaowekwa kwa ajili ya aliye nao na kumletea msiba.+