Methali 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hayo ndiyo mapito ya kila mtu anayepata faida isiyo ya haki.+ Huiondoa nafsi yao walio nayo.+ Methali 11:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kuna mtu anayetawanya na bado anaongezewa;+ pia kuna mtu anayewanyima wengine yaliyo sawa, lakini hilo huleta uhitaji tu.+ Methali 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Anayetegemea utajiri wake—yeye mwenyewe ataanguka;+ lakini waadilifu watasitawi kama majani.+ Luka 12:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Hivyo ndivyo huwa kwa mtu anayejikusanyia mwenyewe hazina lakini si tajiri kwa Mungu.”+ Yakobo 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Dhahabu na fedha zenu zimeliwa na kutu, na kutu yake itakuwa kama ushahidi juu yenu nayo itakula sehemu zenu zenye nyama. Kitu kama moto+ ndicho mmeweka akiba+ katika siku za mwisho.+
24 Kuna mtu anayetawanya na bado anaongezewa;+ pia kuna mtu anayewanyima wengine yaliyo sawa, lakini hilo huleta uhitaji tu.+
3 Dhahabu na fedha zenu zimeliwa na kutu, na kutu yake itakuwa kama ushahidi juu yenu nayo itakula sehemu zenu zenye nyama. Kitu kama moto+ ndicho mmeweka akiba+ katika siku za mwisho.+