Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Kwa maana kama vile walivyokuwa katika siku hizo kabla ya gharika, wakila na kunywa, wanaume wakioa na wanawake wakiolewa, mpaka siku ambayo Noa+ aliingia ndani ya safina;+

  • Luka 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe usiye na akili, usiku huu wanadai nafsi yako kutoka kwako.+ Basi, vitu ulivyoviweka akiba vitakuwa vya nani?’+

  • Luka 17:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Vivyo hivyo, kama vile ilivyotukia katika siku za Loti:+ walikuwa wakila, walikuwa wakinywa, walikuwa wakinunua, walikuwa wakiuza, walikuwa wakipanda, walikuwa wakijenga.

  • 1 Wakorintho 15:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Ikiwa, kama wanadamu, nimepigana na wanyama-mwitu katika Efeso,+ hiyo ina faida gani kwangu? Ikiwa wafu hawatafufuliwa, “na tule na tunywe, kwa maana kesho tutakufa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki