Methali 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mtu yeyote anayemlaani baba yake na mama yake,+ taa yake itazimwa giza linapokaribia.+ Methali 24:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana mtu yeyote mbaya hatakuwa na wakati ujao;+ taa ya watu waovu itazimwa.+