Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 21:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Taa ya waovu inazimwa mara ngapi,+

      Na msiba wao unakuja juu yao mara ngapi?

      Ni mara ngapi yeye anagawanya maangamizi katika hasira yake?+

  • Zaburi 73:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana, tazama! Walewale wanaokaa mbali nawe wataangamia.+

      Hakika utamnyamazisha kila mtu ambaye kwa njia isiyo ya adili anakuacha.+

  • Methali 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nuru ya waadilifu itashangilia;+ lakini taa ya waovu—hiyo itazimwa.+

  • Methali 20:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mtu yeyote anayemlaani baba yake na mama yake,+ taa yake itazimwa giza linapokaribia.+

  • Mathayo 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 lakini wana wa ufalme+ watatupwa nje katika giza. Nao watalia na kusaga meno yao huko.”+

  • Yuda 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 mawimbi yasiyotulia ya bahari ambayo yanatoa povu la visababishi vyao wenyewe vya aibu;+ nyota ambazo hazina njia kamili iliyowekwa, ambazo zimewekewa akiba ya weusi wa giza milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki