Zaburi 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana nimezishika njia za Yehova,+Wala kwa uovu sikuondoka kwa Mungu wangu.+ Zaburi 44:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Moyo wetu haujageuka nyuma kwa kukosa imani,+Wala hatua za miguu yetu hazitoki katika njia yako.+